Skip to main content
Skip to main content

Kenya Kwanza yakejeli upinzani kwa kukosa ajenda muhimu

  • | Citizen TV
    273 views
    Duration: 1:45
    Wabunge wa Kenya Kwanza kutoka eneo la Gusii wamemsuta vikali aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua, kwa madai ya kuwachochea wananchi dhidi ya viongozi wa Kenya Kwanza.