Skip to main content
Skip to main content

Kenya yaadhimisha siku ya vyombo vya habari, wanahabari watakiwa kuwa makini

  • | Citizen TV
    347 views
    Duration: 3:07
    Kenya imeungana na ulimwengu kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari hii leo huku wanahabari wakitakiwa kuwa makini na taarifa wanazopeperusha msimu huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Haya yamezungumzwa kwenye maadhimisho makuu hapa Nairobi huku wanahabari nyanjani wakiadhimisha siku hii kwa wito wa usalama wanapokuwa kazini.