Skip to main content
Skip to main content

Kenya yawakutanisha wajumbe 500 kwenye kongamano la gesi chafu na ustawi wa mifugo

  • | Citizen TV
    159 views
    Duration: 3:11
    Kenya iliandaa kongamano la kimataifa kuhusu gesi zinazoathiri viwango vya joto duniani na ustawi wa mifugo. Zaidi ya wajumbe 500 kutoka mataifa mbalimbali walikutana kujadili mbinu endelevu za kupunguza hewa chafu zinazotokana na mifugo, kando na kuboresha utoshelevu wa chakula na kuimarisha mapato ya wakulima