- 24 views
Viongozi wa vijana katika wadi za Mwea na Makima kaunti ya Embu wanatoa wito kwa serikali kuyasaidia mashirika yanayoendeleza vita dhidi ya uraibu wa mihadarati na pombe. Viongozi hao wanasema kampeni za uhamasisho kuhusu madhara ya utumizi wa mihadarati na ubugiaji pombe zinapaswa kuimarishwa miongoni mwa vijana ambao wengi wao wanatekwa na uraibu huo. Mdhamini wa kundi la vijana la Mwema, Nicholas Kasanga amesema kampeni hiyo inaweza kufanikiwa endapo viongozi katika eneo hilo watashirikiana na serikali kufanikisha juhudi za wale wanaopambana na uovu huo. kasanga alisema hayo wakati wa warsha ya kuhamasisha vijana katika Parokia ya Kitololoni ya kanisa Katoliki eneo la Makima.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kero La Mihadarati: Wanaharakati waomba usaidizi wa serikali
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - President Ruto will be only the sixth head of state—after South Korea, France, India, Australia and Japan—to be accorded a State visit during the Biden presidency.
- 19 May 2024 - Jailed Iranian Nobel Peace Prize winner Narges Mohammadi says she is facing a new trial after she accused the s*************s of s****lly a*****ting women. In a message from Evin prison where she is being held, Ms Mohammadi said the trial relates to an…
- 19 May 2024 - The visit is primed with symbolic significance.
- 19 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to sp*ed with today’s happenings. Ruto flies to US President Wi*liam […]
- 19 May 2024 - "I believe he won a few of the rounds, but I won the majority," a defiant Fury said in the ring.
- 19 May 2024 - He reminded political leaders to shun using blackmail as a way to survive in politics
- 19 May 2024 - Nothing delights of our politicians more than a good disaster photo op
- 19 May 2024 - Office of retired president crippled with budget freezes that Uhuru's staff attribute to politics of retribution.
- 19 May 2024 - Experts call on government to focus on growing the GDP.
- 19 May 2024 - Ruto calls for planting 15 billion trees by 2032 to rehabilitate forests, improve the climate, limit floods and landslides and give us shade.