- 2,475 viewsDuration: 1:00Kesi ya mauaji ya mwanablogi na mwalimu Albert Ojwang inasikilizwa kuanzia leo katika mahakama ya Kibra hapa jijini Nairobi. Ojwang alifariki mwezi juni mwaka uliopita kwenye seli za kituo cha polisi cha central. washukiwa sita akiwemo aliyekuwa ocs wa kituo hicho Samson Talaam wanachunguzwa.