Skip to main content
Skip to main content

Kifo cha Polisi Haiti: Familia yamwomba serikali usaidizi wa mazishi

  • | Citizen TV
    3,826 views
    Duration: 2:54
    Familia ya afisa wa polisi kennedy mutuku nzuve aliyefariki nchini haiti inairai serikali kuwasaidia kuufikisha mwili wake nchini na kufanikisha mipango ya mazishi. Mamake mutuku, serah ndunge, anasema kifo cha mwanawe wa pekee ni pigo kubwa kwani alikuwa na matarajio ya kumwona tena mwezi novemba alipopangiw akurejea nchini kw alikizo. Na kama anavyoarifu gatete njoroge, mutuku alifariki baada ya gari alimokuwa wakati w aoperesheni nchini haiti ilipopata ajali.