- 72 viewsKikao cha sita cha umoja wa mataifa kuhusu mazingira UNEA sita kimekosolewa kwa kukosa kuendeleza mazungumzo ya kubuni sheria ya kimataifa ya kupiga marufuku uzalishaji wa plastiki. Washiriki katika mazungumzo haya mbayo yamekuwa yakiendelea Nairobi Kenya wanalalamika ushawishi wa baadhi ya mataifa hasa yale yanayozalisha kawi kupitia mafuta ya kisuku kudhoofisha mazungumzo haya kwa sababu zao kibinafsi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kikao cha UNEA chakosolewa kwa kushindwa kujadili jinsi kukabiliana uzalishaji wa plastiki.
- - LIVE|| News Now ››
- 5 May 2024 - Kenya is currently experiencing heavy rains that have led to flooding and water bodies breaking their banks, which in turn have led to loss of lives and destruction of property.
- 5 May 2024 - The Kenya Renal Association has called for the immediate suspension of the operating licenses for Mediheal Hospital in Eldoret over alleged unethical kidney transplants performed in the facility.
- 5 May 2024 - Cyrus Jirongo, a former Member of Parliament and Minister in late President Daniel Moi's regime, has set the record straight on the controversy surrounding the infamous Youth for KANU 92 (YK92) movement, and the allegations of massive printing of money…
- 5 May 2024 - Motorists plying the Kisumu- Nairobi highway have been forced to persevere an hours-long snarl-up at the Ahero area after river Nyando burst its banks on Saturday night forcing water to flow over the Ahero bridge.
- 5 May 2024 - All landowners have been urged to adhere to the directive within the stipulated time.
- 5 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Harambee Stars and St Mirren striker Jonah Ayunga has undergone an operation on a knee injury, ruling him out for […]
- 5 May 2024 - In this piece, we assess Kenya's disaster management and issues around responding to crises like the ongoing floods.
- 5 May 2024 - More than 400,000 people die of malaria annually.
- 5 May 2024 - The Tanzania Meteorological Authority (TMA) confirmed on Saturday that following a 6-hour watch of the weather patterns they established that Tropical Cyclone Hidaya "has completely lost its strength".
- 5 May 2024 - The water shortage has persisted despite heavy rainfall that began pounding the city in March.