Skip to main content
Skip to main content

Kilimo cha mpunga kinatarajiwa kuimarika kupitia teknolojia mpya

  • | Citizen TV
    277 views
    Duration: 3:48
    Kilimo cha mpunga katika eneo bunge la Budalangi katika kaunti ya Busia kinatarajiwa kuimarika maradufu baada ya ujio wa teknolojia ya kupanda mmea huo kwa kutumia mashine ya kupandikiza. Kinyume na awali, mpunga unapandwa katika teo zinazowekwa kwenye kiota cha wavu wa kivuli kwa siku ishirini na moja kabla ya kuhamishiwa shambani na kupandwa kwa kitumia mashine ya kupandikiza.