Skip to main content
Skip to main content

Kilimo cha mrehani chafungua masoko ya kimataifa

  • | Citizen TV
    81 views
    Kilimo cha mrehani unaojulikana kwa lugha ya Kiingereza kama basil kimeanza kushika kasi katika maeneo kame nchini. Katika eneo la Kamulu, mkulima mmoja anakuza viungo vya mrehani ndani ya kivungulio akilenga masoko ya kigeni. Kwenye Kilimo Biashara jioni ya leo, mwanahabari wetu Denis Otieno anaangazia kilimo hiki kinachothibitisha kuwa hata mazao madogo yanaweza kufungua milango ya masoko ya kimataifa.