Skip to main content
Skip to main content

Kilimo chanawiri katika eneo kame la Kaler katika kaunti ndogo ya Nyatike

  • | KBC Video
    108 views
    Duration: 3:14
    Katika eneo la Kaler, jamii iliyoko katika kaunti ndogo ya Nyatike ambayo hapo awali ilijulikana kwa kiangazi na ukame, mabadiliko yenye athari kubwa yanaendelea kushuhudiwa. Mahali ambapo hapo awali kulikuwa na mashamba yaliyokauka kwa jua na yasiyo na uhai, sasa kuna mashamba yaliyo na rangi ya kijani kibichi yanayonawiri, hata miezi kadhaa baada ya mvua ya mwisho kunyesha. Kufuatia ukame uliokithiri ,wakulima wa eneo hilo wamechukua hatua kwa kujenga mabwawa ya kuhifadhi maji ya mvua, kwa ajili ya matumizi wakati wa vipindi virefu vya kiangazi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive