- 61 views
Waziri wa usalama wa kitaifa, Kithure Kindiki ameagiza kufungwa kwa maeneo ya uchimbaji madini ya Dabel kaunti ya Marsabit. Hatua hii inafuatia makabiliano yaliozuka baina ya makundi pinzani ya wachimbaji madini na kusababisha vifo vya watu 7. Kulingana na Kindiki, kikosi maalum cha maafisa kutoka idara ya upelelezi wa jinai kimeanza uchunguzi kuwatambua na kuwashtaki waliohusika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kindiki aagiza kufungwa kwa migodi ya Dabel baada ya watu saba kuuawa
- - Duniani Leo ››
- 29 Apr 2024 - Soldiers, police in scuffle at Likoni channel
- 29 Apr 2024 - KRA average monthly tax take this year has been Sh171 billion against a target of Sh208 billion.
- 29 Apr 2024 - Unions have threatened mother of all strike if cabinet approve the proposal
- 29 Apr 2024 - Kenyans may also not experience the bitterly cold June-July weather, as temperatures will remain warmer
- 29 Apr 2024 - Elections have reignited bad blood between a county boss and his deputy who are now not seeing eye to eye
- 29 Apr 2024 - The python died in a brushfire 37 years ago but was returned to Kisumu for the event
- 29 Apr 2024 - It is highly competent, can tolerate more arid conditions, and thrive in both rural and urban settings.
- 29 Apr 2024 - Ruto’s first grassroots polls were phoney, they just wrote names down, even those of unregistered boda boda riders who refused.
- 29 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The county government of Kakamega has asked the public to disregard statements made by area Senator Boni Khalwale that construction […]
- 29 Apr 2024 - UDA successfully held the first of staggered polls, as ODM mulls consensus.