Skip to main content
Skip to main content

Kindiki ahakikishia kumalizika kwa miradi ya barabara baada ya kulipa Sh177 bilioni

  • | Citizen TV
    746 views
    Duration: 1:11
    Naibu rais Profesa Kithure Kindiki ametoa hakikisho kuwa miradi yote ya barabara iliyokwama itakamilika mwaka huu baada ya serikali kulipa shilingi bilioni mia moja sabini na saba kwa wanakandarasi