Kindiki alaumu upinzani kwa kuchochea migawanyiko | Atetea hatua za serikali mpakani

  • | Citizen TV
    844 views

    Naye Naibu Rais Kithure Kindiki amewaongoza wanasiasa wa Kenya Kwanza kuwazomea wenzao kwenye upinzani, kwa kile wanasema ni kuhubiri chuki na migawanyiko nchini. Kindiki aliyeongoza hafla za uwezeshaji katika kaunti za Wajir na Garissa ametetea hatua ya serikali kuondoa vikwazo kwa wakaazi wa kaunti za mpakani