Kiongozi wa Iran Khamenei akisalia jeneza la kiongozi wa Hamas
Kiongozi wa Juu wa Iran, Ali Khamenei na wawakilishi wa wanamgambo wa Palestina walilisalia jeneza la Ismail Haniyeh na mlinzi wake ambaye aliuawa katika mauaji ambayo Israel inalaumiwa kuhusika.
Kituo cha televisheni cha serikali ya Iran baadaye kilionyesha majeneza yakiwekwa kwenye gari na kupitishwa mtaani kuelekea kwenye eneo la Azadi Square mjini Tehran na watu wakirusha maua kwenye majeneza hayo.
Baada ya ibada ya mazishi mjini Tehran, mwili wa Haniyeh unatarajiwa kupelekwa kwa maziko siku ya Ijumaa.
Habari hii inatokana na vyanzo mbalimbali vya habari.
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili # #aljazeera #ismailhaniyeh #mazishi
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- Two families in Mlolongo, Machakos County, are in anguish months after their kin disappeared under mysterious circumstances.
7 Aug 2025
- Kericho Governor Erick Mutai once again faces an impeachment attempt, barely a year after surviving a similar bid in the Senate.
7 Aug 2025
- A man believed to be behind a string of brutal murders in Gem Yala sub-county in Siaya was apprehended and later lynched by members of the public.
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- CBK is expected to respond to the bankers' request next week on Tuesday.
7 Aug 2025
- They have been summoned over the irregular transfer of the government land.
7 Aug 2025
- The ministers of defence and environment died in a military helicopter on Wednesday.
7 Aug 2025
- By the end of 2025, 1,000 goats and sheep are expected to be distributed unger the Hope Project