- 341 views
Kitengo cha dijitali cha kampuni ya Royal Media Services kiliibuka bingwa kwenye tuzo za shirika la masoko -MSK- za mwaka huu, baada ya kujizolea tuzo ya uvumbuzi kwenye sekta ya habari. Hii ni mara ya pili kwa kitengo cha dijitali cha RMS kutuzwa, mwaka moja tu baada ya kuzinduliwa oktoba mwaka jana. Katika hafla iliyoandaliwa na Msk gala na ambayo iliaandamana na maadhimisho ya miaka 60 ya shirika hilo. Miamba wa mauzo pia walitambuliwa na kuzawadiwa kwenye hafla hiyo. Wengine waliotunikiwa walikuwa ni pamoja na kampuni za Kenya Wine Agencies Ltd, EABL, Coca Cola, GA Insurance na SCANAD miongoni mwa mengine
Kitengo cha dijitali cha RMS chazoa tuzo ya uvumbuzi ya MSK
- - HIV Jab breakthrough ››
- 16 Jul 2025 - Kenya Airways is set to regain its long-haul strength as it prepares to return three grounded Dreamliners to service.
- 16 Jul 2025 - Chief Justice Martha Koome has pushed back against external interference and attacks on judicial officers by the political class.
- 16 Jul 2025 - Eight key suspects linked to the July 3, 2025, arson attack on Mawego Police Station in Rachuonyo North sub-county, Homa Bay County, were on Tuesday arraigned at the Kahawa Law Courts.
- 16 Jul 2025 - Like other Togolese under the age of 60, Elom cannot remember a time when the tiny west African nation was not ruled by a member of the Gnassingbe family.
- 16 Jul 2025 - Two victims of the recent violent Saba Saba protests have been laid to rest in deeply emotional ceremonies.
- 16 Jul 2025 - The government is investigating the mysterious deaths of four residents of the Migadini area in Changamwe, Mombasa County.
- 15 Jul 2025 - Sophia Sitati has been appointed as the new Registrar of Political Parties in an acting capacity.
- » Orwoba to appeal Ksh.10.5M defamation ruling, claims she’s being punished for rejecting sexual advances15 Jul 2025 - Former Nominated Senator Gloria Orwoba has vowed to appeal a court ruling that ordered her to pay Ksh.10.5 million to Senate Clerk Jeremiah Nyegenye for defamation, defiantly maintaining that her sexual harassment claims remain unresolved.
- 15 Jul 2025 - The High Court has ordered Faith Jematia Kiptis, an officer at the National Treasury and Planning, to refund Ksh.67 million that she received irregularly between January 2020 and June 2022.
- 15 Jul 2025 - Chief Justice Martha Koome has hailed the gender inclusivity journey in the country’s justice system evolution.