- 596 viewsKuhusiana na maamuzi ya hivi karibuni ya Mahakama ya Juu Marekani mwanafunzi wa kizazi cha Gen-Z anajiuliza juu ya idadi ya watu watakao jitokeza kwenye uchaguzi mkuu 2024 nchini Marekani. Ungana na mwandishi wetu akikuletea maelezo ya vijana na mchambuzi. Mchambuzi anaeleza wanasiasa wanaweza kufanya nini kubadili msimamo wa kizazi cha Gen-Z. Endelea kusikiliza... #haki #mahakama #siasa #voa #voaswahili #dunianileo #kizazi #gen-z #wamarekani #tabaka #makabila #vizazi #tabia #mwenendo #wanasiasa - - - - - # #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kizazi cha Gen- Z chajiuliza idadi ya watu watakao jitokeza kwenye uchaguzi mkuu 2024
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
- 19 May 2024 - Thirdway Alliance party leader Ekuru Aukot says he will petition the United Nations seeking to put a stop to the deployment of police officers to Haiti.
- 18 May 2024 - Auditor General Nancy Gathungu has flagged the eCitizen Revenue Accountability Statement for the Year Ended June 30, 2023, questioning the accuracy of revenue receipts amounting to Ksh.15.5 billion which she says cannot be confirmed.
- 18 May 2024 - President William Ruto has dismissed critics questioning his leadership skills and advising him on how to approach the electorates in order to be re-elected to office for a second term.
- 18 May 2024 - Kenya women’s Under 17 soccer team head coach Mildred Cheche has challenged her charges to utilize the chances that they will create against Ethiopia in the return leg,Under 17 Women’s World Cup qualifier at Ulinzi Complex,Nairobi. Kenya held hosts…
- 18 May 2024 - COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
- 18 May 2024 - Why Kenya should learn to rally behind its national champions
- 18 May 2024 - Why IMF policies cannot align with bottom-up agenda