- 95 viewsMichuano ya soka inaendelea huko Qatar ambako timu nyingi zinaendelea kuwashangaza wengi. Lakini ni kitu gani ambacho kinafanya watu wapata butwaa katika mashindano haya. Mwandishi wetu aliyeko Qatar Sunday Shomari anaungana na studio za VOA Washington DC, kutuletea yale yanayojiri akieleza timu ya Ghana pamoja na kunyakua ushindi dhidi ya timu ya Korea Kusini bado ilikuwa ikishambuliwa vikali sana. Endelea kusikiliza yaliyojiri... #voaworldcup2022 #fifaworldcup #worldcup #qatar #qatar2022 #fifa #football #messi #soccer #ronaldo #futbol #koriyatakudu #southkorea #ghana - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kombe la Dunia: Ghana yafanya vizuri, Korea Kusini yaonyesha ushindani mkali
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- 26 Apr 2024 - A 35-year-old rape suspect is nursing a gunshot wound at Siaya County Referral Hospital after he was shot for attacking and seriously injuring a police constable in Alego/Usonga Sub-county.
- 26 Apr 2024 - The exchange rate has been fluctuating between Ksh130 and Ksh134 in recent days.
- 26 Apr 2024 - Several gangs had maintained their stance on chaos amid Ariel Henry's resignation.
- 26 Apr 2024 - At least 110 members of the National Assembly have appended their signature in support of an impeachment motion against Agriculture CS Mithika Linturi.
- 26 Apr 2024 - Findings reveal excessive workload, lack of healthcare access, violence, and limited autonomy for women in the region.
- 26 Apr 2024 - Jonathan Moi's widow made a public appeal, asking well-wishers to donate money for her son's treatment.
- 26 Apr 2024 - The sell-or-ban measure was signed into law by US President Joe Biden on Wednesday.
- 26 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to speed with today’s happenings. Health crisis Today marks day […]
- 26 Apr 2024 - Tana River has experienced little rainfall but flash floods have displaced many families.
- 26 Apr 2024 - Reading Time: < 1 minute Leaders from Nyamira County have expressed their anger and disappointment over an upsurge of defilement cases in the area. They […]