Skip to main content
Skip to main content

Kongamano la kwanza la wawekezaji Afrika mashariki lafanyika Nairobi

  • | Citizen TV
    45 views
    Kongamano la kwanza la wawekezaji Afrika Mashariki limefanyika jijini Nairobi. Kongamano hilo linalenga kukuza biashara, uwekezaji na ushirikiano kati ya sekta binafsi katika ukanda wa Afrika Mashariki.