- 278 viewsDuration: 1:22kongamano la maaskofu wa kanisa katoliki la siku nane linanedelea katika chuo kikuu cha katoliki bewa la nairobi. ajenda kuu ni kuhimiza umoja, matumaini, haki na utawala bora. vijana zaidi ya elfu kumi kutoka mataifa ya afrika mashariki wanashiriki kongamano hilo.