Skip to main content
Skip to main content

Kongamano la maonyesho ya sukari lafanyika Kisumu

  • | Citizen TV
    298 views
    Duration: 1:25
    Mwenyekiti wa bodi ya sukari ya Kenya, Nicholas Gumbo, ametoa wito kwa vijana kujitosa katika kilimo cha miwa, akisema kuwa ukuaji wa baadaye wa sekta ya sukari nchini sasa uko mikononi mwa vijana wanaojua teknolojia