Skip to main content
Skip to main content

Kongamano la walimu wakuu wa shule za msingi lafanyika Mombasa

  • | Citizen TV
    83 views
    Kongamano la walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari msingi limeingia siku yake ya pili hii leo jijini Mombasa.Baadhi ya walimu na wadau katika sekta ya elimu wametaka serikali kuwekeza zaidi katika teknolojia na miundombinu ya kisasa ili kufanikisha mtaala wa cbe.