- 6 views
Kongamano la sita la Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEA-6) litafanyika kuanzia tarehe 26 Februari hadi 1 Machi katika makao makuu ya mpango wa mazingira wa umoja wa mataifa (UNEP) jijini Nairobi, Kenya.
Kongamano hilo limetanguliwa na kikao na wanahabari, ambacho kitasaidia kuweka msingi wa kongamano linalotarajiwa.
Shirika la UNEP, pamoja na serikali ya Kenya inanuia kuangazia masuala mbalimbali ya mazingira pamoja na masuala muhimu ya kujadiliwa katika UNEA-6.
Bi. Inger Andersen, Mkurugenzi Mkuu wa UNEP, Soipan tuya, Waziri wa Mazingira, Mabadiliko ya Tabianchi na Misitu nchini Kenya pamoja na Bi. Radhika Ochalik, Mkurugenzi, Masuala ya Utawala UNEP, wametangaza baadhi ya mambo yatakayojadiliwa, huku taifa la Kenya likizidi kupigia debe uhifadhi wa mazingira.
Watu 5,000 wanatarajiwa kuhudhuria kongamano hilo la UNEA-6.
#TV47Matukio
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Kongmano la UNEA-6 litafanyika jijini Nairobi kuanzia tarehe 26 Februari – 1 Machi
- - 🔴 LIVE|| NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 8 May 2024 - The party's ENDRC last week dismissed all 209 disputes that stemmed from the April 27 exercise.
- 8 May 2024 - Governor Wanga says county has issued demand letters to defaulters.
- 8 May 2024 - During the pre-trial hearing on Tuesday, the lawmaker said he had been forced to enhance his security.
- 8 May 2024 - They had threatened to sign their own return-to-work formula and table it in court
- 8 May 2024 - Lost keys took the fun out of a trip out of town that ended late
- 8 May 2024 - Top security officials in Washington DC to finalise deployment logistics.
- 8 May 2024 - UK tea giant Lipton to sell 15pc stake to local farmers in deal
- 8 May 2024 - Kibor's widow claims she is on the verge of eviction
- 8 May 2024 - Striking doctors, state return to court after failing to reach deal
- 8 May 2024 - Head coach Mildred Cheche said the team is currently in high spirits and raring to go.