Skip to main content
Skip to main content

Koplo peter wamiti kusalia jela Nyeri hadi tarehe tano mei, kwa madai ya mauwaji

  • | Citizen TV
    739 views
    Duration: 1:36
    Koplo Peter Wamiti Mwangi, afisa wa Polisi anayehusishwa na mauaji ya mfanyabiashara George Gathu, atasalia rumande mpaka mwezi mei tarehe tano, siku ambayo mahakama itatoa mwelekeo zaidi, kuhusu mkondo utakaochukuliwa kwenye kesi Hiyo.