- 73 views
Serikali inanuia kupunguza kiwango cha mishahara ya watumishi wa umma kutoka asilimia-46 hadi asilimia-35 ya bajeti kufikia mwaka-2028. Mkuu wa utumishi wa umma, Felix Koskei amesema serikali haitakubali shinikizo zozote za nyongeza ya mishahara na marupurupu katika sekta ya umma kutokana na mzigo mkubwa wa kiuchumi. Hayo yalijiri huku mwenyekiti wa tume ya kuratibu viwango vya mishahara ya watumishi wa umma-SRC, Lyn Mengich akionya kuwa taasisi yoyote ya serikali itakayoafikia mkataba wa maelewano na vyama vya wafanyikazi sharti iwe na pesa za kutekeleza mkataba huo la sivyo taasisi hiyo haitapokea mgao kutoka kwa serikali. Giverson Maina na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Koskei: Hakuna nyongeza ya mishahara na marupurupu
- - dar michezosoka ››
- 16 May 2024 - Kirinyaga Governor Anne Waiguru has told off a section of Mt Kenya leaders over the oncoming event dubbed the Limuru III Conference which is slated for this Friday.
- 16 May 2024 - Nairobi residents have been urged to exercise caution following the sighting of three lions roaming in Lang’ata.
- 16 May 2024 - Kenya and Uganda have signed a tripartite agreement allowing Uganda’s state oil firm to import her petroleum products through Kenya.
- 16 May 2024 - General Sumbeiywo spoke to the media at a Nairobi hotel after all stakeholders signed an agreement to participate in the mediation process. He emphasised the importance of embracing a spirit of compromise.
- 16 May 2024 - The pastor was found dead inside his locked house.
- 16 May 2024 - Gachagua defends budget request to renovate homes, office, and buy new cars
- 16 May 2024 - Gachagua's office wants Sh1.12 billion to repair Karen residence and Harambee Annex as his office says the request also covers 'increased functions' of the Deputy President's spouse.
- 16 May 2024 - A suspected drug trafficker was on Thursday arrested with approximately 100 kilograms of bhang in Nakuru County.
- 16 May 2024 - Destruction was undertaken to send a message to those involved in the illegal harvesting.
- 16 May 2024 - Fifteen EU states have demanded a further tightening of the bloc's asylum policy, making it easier to transfer undocumented migrants to third countries, including when they are rescued at sea.