- 73 views
Serikali inanuia kupunguza kiwango cha mishahara ya watumishi wa umma kutoka asilimia-46 hadi asilimia-35 ya bajeti kufikia mwaka-2028. Mkuu wa utumishi wa umma, Felix Koskei amesema serikali haitakubali shinikizo zozote za nyongeza ya mishahara na marupurupu katika sekta ya umma kutokana na mzigo mkubwa wa kiuchumi. Hayo yalijiri huku mwenyekiti wa tume ya kuratibu viwango vya mishahara ya watumishi wa umma-SRC, Lyn Mengich akionya kuwa taasisi yoyote ya serikali itakayoafikia mkataba wa maelewano na vyama vya wafanyikazi sharti iwe na pesa za kutekeleza mkataba huo la sivyo taasisi hiyo haitapokea mgao kutoka kwa serikali. Giverson Maina na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Koskei: Hakuna nyongeza ya mishahara na marupurupu
- 2 Aug 2025 - The National Police Service (NPS) has distanced itself from controversial remarks made by a junior officer calling for a reduction in the recruitment of female police officers, saying the views do not reflect the position of the government or the service.
- 2 Aug 2025 - While enumerating productive interventions implemented in various sectors to ensure better livelihoods, the DP said the administration will not relent in nation building and continued pursuit of economic growth.
- 2 Aug 2025 - Human rights activist Mwabili Mwagodi claims his life is in danger following his recent criticism of the government.
- 2 Aug 2025 - Kindiki also issued an update on the construction of the Rironi-Mau Summit highway.
- 2 Aug 2025 - In a family tribute, Mr Muruganantharajah was described as "a brother figure to everyone".
- 2 Aug 2025 - The new proposed rules are just one in the many attempts to tame the industry.
- 2 Aug 2025 - The new program is set to equip pupils with much-needed skills for their development.
- 2 Aug 2025 - The two stadiums will be the venues for CHAN fixtures in Kenya during the tournament.
- 2 Aug 2025 - CS Murkomen said both Nyayo and Kasarani now feature modern access gates that require digital entry cards.
- 2 Aug 2025 - Nyahururu-based OCS Isaac Kimutus asked NPS to cap female recruitment at 20%.