- 113 views
Bodi ya kuainisha filamu humu nchini itatoa ilani mnamo siku ya ijumaa tarehe 25th kwa lengo la kuhamasisha umma kuhusu uamuzi wake ulioafikiwa hivi majuzi wa kufafanua upya majukumu ya mawakala wa filamu humu nchini. Kwa mujibu wa uamuzi huo, kuanzia tarehe mosi mwezi Disemba mwaka huu, majukumu ya mawakala hayo yatawekewa masharti kadha ikiwemo kutoa usaidizi wa kiufundi kwa watayarishaji filamu na vipindi vya televisheni wa kigeni na kuhakikisha watayarishaji filamu wa kigeni wanazingatia sheria za humu nchini. Kaimu mwenyekiti wa bodi hiyo Christopher Wambua alisema bodi hiyo ina jukumu la kutoa leseni kwa watayarishaji filamu wa humu nchini moja kwa moja bila kuwahusisha mawakala.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #KFCB #News #filamu
Kudhibiti sekta ya filamu | Kanuni mpya zatangazwa
- 14 Jul 2025 - President William Ruto has joined a list of leaders who have condoled with the Federal Republic of Nigeria following the demise of their former Head of State Muhammadu Buhari. Buhari passed away on Sunday evening at the age of 82, after a prolonged…
- 14 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has maintained that he has no political scores to settle as he seeks to clinch the presidency in the 2027 General Election.
- 14 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has dismissed claims by President William Ruto loyalists that that he is seeking to overthrow government using unconstitutional means.
- 14 Jul 2025 - The U.S. Federal Aviation Administration and Boeing (BA.N) have privately issued notifications that the fuel switch locks on Boeing planes are safe, a document seen by Reuters showed and four sources with knowledge of the matter said.
- 14 Jul 2025 - The National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA) plans to implement stricter rules on the sale and consumption of alcohol and drug abuse.
- 14 Jul 2025 - The DIG stepped aside over Albert Ojwang's death.
- 14 Jul 2025 - His decision to go for an eighth term came after "numerous and insistent" calls by people from all regions in Cameroon and the diaspora.
- 14 Jul 2025 - Kabogo says KBC is not helping govt and Kenyans at the moment.
- 14 Jul 2025 - The G7 women governors have joined Nakuru Governor Susan Kihika in celebrating the birth of her twin babies,
- 14 Jul 2025 - He expressed concern that figures from counties in the region remain significantly below national averages.