Skip to main content
Skip to main content

Kundi la wanawake lavamia makazi ya mshukiwa wa ulanguzi wa mihadarati

  • | KBC Video
    120 views
    Duration: 1:47
    Kizaazaa kilizuka katika eneo la Kamangu, eneo bunge la Kikuyu, Kaunti ya Kiambu, baada ya kundi la wanawake kuvamia nyumba ya mshukiwa wa ulanguzi wa mihadarati anayedaiwa kuendeleza matumizi ya dawa za kulevya katika eneo hilo. Wanawake hao walitishia kuchukua sheria mikononi mwao ikiwa hakuna hatua itakayochukuliwa mara moja kukabiliana na tatizo hilo, wakisema uraibu wa dawa za kulevya umesababisha kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi wanaoacha shule na utovu wa nidhamu miongoni mwa vijana wa eneo hilo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive