Kutana na ligi ya kipekee ya wabibi wanasoka barani Afrika
Huenda wasiwe na ujuzi kama Lionel Messi au Cristiano Ronaldo, lakini hilo halijawazuia Bibi hawa wa Kiafrika kujifunza kupiga penalti na mbinu za kukaba.
-
Hii imekuwa kazi ya Rebecca Ntsanwisi mwenye umri wa miaka 57 kutoka Afrika Kusini, aliyeanzisha timu za Bibi wazee wanasoka katika nchi mbalimbali barani Afrika kwa lengo la kuboresha afya ya akili na mwili kwa wanawake wenye umri mkubwa.
-
Timu tano kutoka Afrika zinashiriki kwenye mashindano ya Kombe la Dunia la Soka la wabibi huko Limpopo, ambapo mchezaji mkongwe zaidi ana zaidi ya miaka 80. Tazama video hii uone jinsi soka ilivyowapa maajuza hawa mwamko mpya wa maisha.
-
-
-
#bbcswahili #soka #wabibi #kandanda #ligi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arraigned the former Garissa County Government Chief Protocol Officer over claims of forging academic certificates to fraudulently secure employment and siphon millions in public funds.
17 Jun 2025
- Speaking publicly for the first time since the call, Meshack Ojwang’, father to the deceased, revealed that the Head of State personally reached out to offer his sympathies and pledged KSh 2 million to support the grieving family.
17 Jun 2025
- Lagat’s journey from humble beginnings to the upper echelons of law enforcement paints the portrait of a man who steadily climbed the ranks of the National Police Service through technical skill, strategic appointments, and academic discipline.
17 Jun 2025
- Rotten at the top: Inside the deadly secrets of Central Police Station
17 Jun 2025
- Embattled Lagat bows to pressure, leaves office
17 Jun 2025
- Mukhwana: I was following my boss' orders
17 Jun 2025
- How 'Standard' covered the Ojwang' murder
17 Jun 2025
- Jacaranda wins first leg of league championships
17 Jun 2025
- Kenya's Divas show grit in loss to Namibia
17 Jun 2025
- Men should be at the forefront if fight against femicide is to be won