Skip to main content
Skip to main content

Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi ni dalili ya hatari

  • | BBC Swahili
    4,100 views
    Duration: 1:13
    Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi si jambo la kawaida, utafiti unaonyesha linaweza kuwa ishara ya hatari kubwa kiafya, Je ni hatari gani hiyo? Mariam Mjahid anaelezea #bbcswahili #wanawake #afya Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw