Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini wanawake wajawazito na waliojifungua hunywa damu ya mifugo

  • | KBC Video
    41 views
    Duration: 6:11
    Unywaji damu ya mifugo hasa katika jamii za kuhamahama, si jambo geni, ila sasa ya kale tunayaona mageni. Katika jamii ya Borana, kwa wanawake wajawazito na waliojifungua kunywa damu ya mifugo ni jambo la kawaida. Naamini kwa sasa unajiuliza, damu tena! Naam!… Damu..Lakini kama Mwanahabari wetu Leyla Swadique anavyotusimulia katika makala haya, utamaduni huu unaendelea kuangamia kutokana na usasa tulionao. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive