Laura Seethal atoa kibao chake kipya Push 2 Start remix
Mwanamuziki maarufu Laura Seethal al maarufu Tyla ametoa wiki hii, video ya wimbo wake mpya Push 2 Start remix akimshirikisha msanii nguli wa dancehall wa Jamaica Sean Paul.
Wimbo huo mpya kutolewa unatokana na mfululizo wa albamu ndefu ya kwanza ya mwnamuziki huyu kinda mwenye umri wa miaka 23, iitwayi Tyla, ambayo ilitolewa Oktoba 2024.
Mwanamuziki huyo mzaliwa wa Afrika Kusini alipata mafanikio wakati wimbo wake single amapiano Water ulipotamba kwenye TikTok. Wimbo huo ulishika nafasi ya saba kwenye Billboard Hot 100 ya Marekani na kuingia katika nyombo za juu 5 nchini Uingereza, na kumfanya kuwa msanii wa kike aliyeshika chati nyingi zaidi katika historia ya Afrika.
Februari 19, ilitangazwa kuwa mwimbaji huyo wa Truth or Dare alikuwa msanii wa kwanza wa Kiafrika kupata kuangaliwa mara bilioni moja kwenye Spotify kwa wimbo wake uliotamba wa Water.
Pia alishinda tuzo ya uzinduzi ya uchezaji bora wa muziki wa Kiafrika katika Grammys kwa wimbo huo.
#mwanamuziki #lauraseethal #tyla #push2startremix #voa #voaswahili #burudani
15 Jun 2025
- Complications emerged with the protocol of official functions during Ruto and Gachagua's tenure.
15 Jun 2025
- For some people, being alongside trickling water masses initiates the urge.
15 Jun 2025
- The president also issued a warning to other contractors.
16 Jun 2025
- Speaking during a church fundraiser in Kisumu County, Governor Wanga — who also serves as the ODM National Chairperson — described Ojwang’s death as “an outrage” and a setback to the broad-based government’s pledge to end extrajudicial killings.
15 Jun 2025
- In a statement posted on his official X account on Sunday, Kindiki acknowledged Kalonzo's decision to decline his invitation to work with the government, saying he respected it—but issued a stern warning against what he called "unprovoked falsehoods."
15 Jun 2025
- The deceased, identified as Calvince Omondi Onditi, was apprehended by the area chief at around 3 a.m. on Sunday after reportedly being found in a goat pen in a homestead near Ndhuru Trading Centre.
15 Jun 2025
- The President said the government, in partnship with the World Bank, will provide KSh50,000 to 70 small business owners - a total of KSh3.5 million - in each of the country’s 1,450 wards.
15 Jun 2025
- Speaking on Sunday during a Church Service at AIC Nairagie Enkare in Narok East, Narok County, the DP encouraged citizens to be patriotic and peacefully co-exist for the nation to prosper.
15 Jun 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula says a decision by China to declare duty and quoter free on all food imports from Kenya would spur economic growth. Speaking in Kakamega County Wetang’ula said the move is extremely beneficial to our country’s…
15 Jun 2025
- Kindiki said he has no issue with Kalonzo choosing not to work with him politically
15 Jun 2025
- Ojwang's death sparked protests, particularly in Nairobi, with demonstrators demanding answers
15 Jun 2025
- Vigils honouring the dead have taken place across India and the UK
15 Jun 2025
- The announcement comes in the wake of the murder of Albert Omondi Ojwang.