Laura Seethal atoa kibao chake kipya Push 2 Start remix
Mwanamuziki maarufu Laura Seethal al maarufu Tyla ametoa wiki hii, video ya wimbo wake mpya Push 2 Start remix akimshirikisha msanii nguli wa dancehall wa Jamaica Sean Paul.
Wimbo huo mpya kutolewa unatokana na mfululizo wa albamu ndefu ya kwanza ya mwnamuziki huyu kinda mwenye umri wa miaka 23, iitwayi Tyla, ambayo ilitolewa Oktoba 2024.
Mwanamuziki huyo mzaliwa wa Afrika Kusini alipata mafanikio wakati wimbo wake single amapiano Water ulipotamba kwenye TikTok. Wimbo huo ulishika nafasi ya saba kwenye Billboard Hot 100 ya Marekani na kuingia katika nyombo za juu 5 nchini Uingereza, na kumfanya kuwa msanii wa kike aliyeshika chati nyingi zaidi katika historia ya Afrika.
Februari 19, ilitangazwa kuwa mwimbaji huyo wa Truth or Dare alikuwa msanii wa kwanza wa Kiafrika kupata kuangaliwa mara bilioni moja kwenye Spotify kwa wimbo wake uliotamba wa Water.
Pia alishinda tuzo ya uzinduzi ya uchezaji bora wa muziki wa Kiafrika katika Grammys kwa wimbo huo.
#mwanamuziki #lauraseethal #tyla #push2startremix #voa #voaswahili #burudani
30 Apr 2025
- The international investigators further listed the names of the suspects who are alleged to be involved in the fraud.
30 Apr 2025
- The appointments had brought wrangles within the institutions.
30 Apr 2025
- Footage showed residents gathered around the hole even as traffic marshals diverted motorists.
30 Apr 2025
- The explosion in generative AI since the advent of ChatGPT has seen several startups launch apps focused on exchange and contact, sometimes described as virtual friends or therapists that communicate according to one's tastes and needs.
30 Apr 2025
- Retired Commissioner of Police Michael Mbugua and two co-accused persons have been granted cash bail of Ksh.100,000 each in a case where they are charged with the murder of a farmhand.
30 Apr 2025
- Since he was first thrust into the limelight, to be publicly prosecuted over his role in the 1990s Goldenberg scandal, the Kamlesh Pattni saga has continued to unload radioactively, mesmerising the masses and painting him into the ultimate villain in a…
30 Apr 2025
- The developers' consortium that developed and maintains eCitizen, the government’s online portal for all State services, has defended its accountability amid repeated concerns about the accuracy of records of revenue collected through its platform.
30 Apr 2025
- The Cabinet approved the establishment of a consulate in Port-au-Prince, Haiti, to support its peacekeeping and diplomatic missions in the Caribbean.
30 Apr 2025
- The international investigators further listed the names of the suspects who are alleged to be involved in the fraud.
30 Apr 2025
- Burial arrangements for a 13-year-old girl mauled by a lioness 10 days ago in Kajiado have been marred by a controversy.
30 Apr 2025
- Foreign Affairs CS Musalia Mudavadi has revealed that a group of Kenyan lawmakers attempted to organise a parallel visit to Taiwan during President William Rutos state visit to China.
30 Apr 2025
- Gov't plans University bailout amid leadership clashes
30 Apr 2025
- The fight against Malaria in Kenya has received a major boost in the area of research, as Mount Kenya University students have the rare opportunity to diversify their research skills of the disease in Germany.