Skip to main content
Skip to main content

Maafisa 11 wa polisi wakamatwa kwa wizi wa kimabavu Kiambu na Maseno

  • | Citizen TV
    19,708 views
    Duration: 1:45
    Maafisa 11 wa polisi wamekamatwa katika kipindi cha siku mbili kwa madai ya kuhusika wizi wa kimabavu katika maeneo tofauti nchini. Polisi wanwazuilia maafisa watatu wa dci, kiamumbi kaunti ya kiambu na wengine wanane wanaodaiw akuiba gari katika kituo cha polisi cha maseno.