Maafisa Nigeria watoa amri ya kutopeperusha bendera ya kigeni
Maafisa wa Nigeria wanasema kupeperusha bendera za kigeni ni “kosa la uhaini” na wametishia kuwafungulia mashtaka wale watakaofanya hivyo baada ya waandamanaji kujitokeza mitaani nchini humo kueleza kero lao dhidi ya uongozi mbovu na kuongezeka kwa ufisadi huku wakipeperusha bendera ya Russia.
Maelfu ya watu wamejitokeza mitaani huko Kano, mji mkuu Abuja, na miji mingine mikubwa wakati wa maandamano kulalamikia hali ngumu ya kiuchumi na uhalifu.
Shirika la Amnesty International limesema watu wasiopungua 13 wameuwawa katika mapambano na polisi tangu kuanza kwa maandamano, ambayo yamepewa jina la “#10DaysOfRage.” Polisi wameeleza idadi ya vifo imefikia 7, wakisema baadhi ya vifo vilikuwa vimesababishwa na ajali mbalimbali na vilipuzi. - (VOA, Reuters)
#nigeria #russia #tinubu #voa
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.
6 Aug 2025
- 12 counties are set to benefit heavily.
6 Aug 2025
- A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
6 Aug 2025
- Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
6 Aug 2025
- Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.
6 Aug 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
6 Aug 2025
- Six senior officials from the Busia County Government have been arrested over allegations of misappropriating public funds through irregular procurement processes involving tenders worth Ksh.1.4 billion.
6 Aug 2025
- In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Ring-necked parrots, green- and yellow-fronted canaries intercepted at Lagos Airport
6 Aug 2025
- Nairobi Traffic Commandant Joseph Chirchir said roads near Moi International Sports Complex, Kasarani and Nyayo National Stadium will face full or partial closures to ease movement around the stadium.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.