Skip to main content
Skip to main content

Maafisa wa polisi waanzisha uchunguzi wa tukio la kaburi la halaiki Kericho

  • | Citizen TV
    1,041 views
    Maafisa wa polisi wameanzisha uchunguzi kufuatia madai kuwa miili 14 imezikwa katika kaburi moja eneo la Makaburini kaunti ya Kericho. Miili hiyo inasemekana kuwa ilizikwa kwa njia tatanishi Ijumaa asubuhi. Serikali ya KauntI ya Kericho imekanusha madai ya kuhusika katika kisa hicho huku wakaazi wakidai serikali iwajibike,