Skip to main content
Skip to main content

Maafisa wa uslama Kapsabet wamenasa kilo 50 ya bangi

  • | Citizen TV
    3,402 views
    Duration: 1:20
    Maafisa wa uslama mjini Kapsabet wamenasa kilo 50 ya bangi yenye thamani ya shillingi 250,000 iliyokuwa ikisafishishwa ndani ya Matatu iliyotoka Mumias kuelekea jijini Nairobi.