Skip to main content
Skip to main content

Maafisa waliohudu Haiti wasifiwa

  • | Citizen TV
    800 views
    Duration: 3:01
    Naibu Waziri wa masuala ya Nje wa Marekani, Christopher Landau, pamoja na Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen, wanaongoza hafla ya kuwatambua maafisa wa Kenya waliotumikia katika ujumbe wa Haiti. Maafisa hao walirejea nchini tarehe 9 Desemba mwaka jana baada ya kukamilisha kikosi cha ulinzi cha miezi 18 chini ya ufadhili wa Umoja wa Mataifa.