Skip to main content
Skip to main content

Maandalizi ya chaguzi ndogo za Novemba yachacha

  • | KBC Video
    139 views
    Duration: 1:56
    Maandalizi ya chaguzi ndogo zitakazoandaliwa tarehe 27 mwezi Novemba yanakamilika, ambapo vyama vya siasa vinajiweka katika nafasi bora kushindania nafasi hizo ziliopo kote nchini. Chama cha Equitable, ambacho kimewasilisha wagombea katika uchaguzi ujao, kimetoa wito wa uchaguzi huru, wa haki na utakaothibitishwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive