- 12 views
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu amewasilisha risala za rambirambi kwa familia za watahiniwa wa mtihani wa kitaifa wa shule za msingi KCPE kutoka shule ya msingi ya Arap Moi iliyoko Tarakwa kaunti ya Uasin Gishu waliofariki katika mkasa wa mtumbwi. Katika taarifa, Machogu ametoa hakikisho la uchunguzi kuhusiana na vifo hivyo akisema watakaopatikana na hatia watachukuliwa hatua za kisheria. Haya yanajiri huku mtihani huo wa kitaifa uking’oa nanga hapo kesho.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maandalizi ya mtihani wa KCPE yakamilika
- - LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- - LIVE| TV47 NEWS NOW ››
- 5 May 2024 - In June 2023, Kenya’s national debt had crossed the Ksh10 trillion mark rising to Ksh10.9 trillion in November 2023.
- 5 May 2024 - As the country continues to experience heavy rainfall, most roads have been flooded hampering transport and disrupting daily activities.
- 5 May 2024 - Ferry services were suspended as a result of Cyclone Hidaya.
- 5 May 2024 - More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law
- 5 May 2024 - Boy in agony after he's beaten, burnt by father
- 5 May 2024 - Doctors reject return-to-work plan
- 5 May 2024 - Ruto allies helped cement the idea of a silent handshake, asserting Raila must toe his line. Amisi faults Kenya Kwanza for thinking their support for Raila would buy his silence.
- 5 May 2024 - Kenya's Olympic dreams go up in smoke
- 5 May 2024 - It comes a year after he wed wife Rebecca at a private ceremony in Kericho on May 6, 2023.