- 169 views
Wazazi wamelalamikia kupanda kwa bei za vitabu vya kusoma na sare za shule huku wanafunzi wa shule za umma wakijiandaa kwa mhula wa kwanza wa masomo ambao utaanza Jumatatu ijayo tarehe 6 mwezi Januari mwaka 2025. Uchunguzi uliofanywa na runinga ya KBC katika maduka mbalimbali ya vitabu na ya kuuza sare za shule jijini Nairobi unadhihirisha nyakati ngumu za kiuchumi wakenya wanakabiliana nazo huku waliohojiwa wakisema bei hizo zimeongezwa mara dufu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maandalizi ya ufunguzi wa shule yapamba moto
- 13 Aug 2025 - President William Ruto on Wednesday assented to the County Allocation of Revenue Bill, 2025, and the County Public Finance Laws (Amendment) Bill, 2023.
- 13 Aug 2025 - The ruling follows a petition filed by four individuals, among them Nakuru-based surgeon Dr. Benjamin Gikenyi, challenging the legality of the committee appointed to audit pending NHIF claims.
- 13 Aug 2025 - The president had previously hosted thousands of youths at State House.
- 13 Aug 2025 - China expects to import 2,000 tonnes of macadamia by the end of the year.
- 13 Aug 2025 - "Tusiharibu game tumestruggle sana kuijenga.”
- 13 Aug 2025 - The PROMISES!
- 13 Aug 2025 - Senior officials from the British Army Training Unit Kenya (BATUK) failed to appear in Parliament on Tuesday to answer questions about the atrocities their soldiers have committed in the country.
- 13 Aug 2025 - African officials and experts have warned that the unpredictability of U.S. trade policy fuels uncertainty for the continent's development.
- 13 Aug 2025 - For those with visual impairments, female ownership is slightly higher at 70.8% compared to males at 66.1%.
- 13 Aug 2025 - Staying in touch with friends and family accounts for 60.2% of usage.