Maandamano kulaani vita yaongezeka katika Vyuo Vikuu Marekani
Maandamano ya wanaounga mkono Wapalestina yameongezeka katika vyuo vikuu vya juu vya Marekani siku ya Jumatatu.
Baada ya usiku kuingia, polisi wa kutuliza ghasia wakiwakabili waandamanaji katika Chuo Kikuu cha New York na kuwakamata watu wengi.
Mamia ya waandamanaji walikaidi amri ya chuo kikuu kuondoka kwenye uwanja ambako walikusanyika.
Waandamanaji walikuwa wanapiga kelele wakiitaka mamlaka ya Chuo Kikuu cha New York, NYU kuachana na juhudi zinazohusishwa na vita vya Israel huko Gaza. Katika Chuo Kikuu cha Columbia cha New York, polisi waliwazuia waandamanaji kadhaa.
Maandamano yanayoendelea katika vyuo vikuu ni taswira ya kuongezeka kwa mzozo kati ya Israel na Palestina, ulioanza tarehe 7 Oktoba kwa shambulio baya la wanamgambo wa Kiislamu wa Hamas nchini Israel, na jibu kali la Israel katika Gaza inayodhibitiwa na Hamas.
#Waandamanaji #chuokikuu #columbiauniversity #newyork #marekani #wanafunzi #polisi #palestina #wapalestina #hamas #israel #voa #voaswahili
5 May 2024
- The Sunday afternoon incident is said to have been prompted by the strong waves.
5 May 2024
- The two leaders exchanged barbs at a Church service attended by the Deputy President.
5 May 2024
- The former SAS soldier indicated that he participated in the rescue mission at DusitD2 and killed several terrorists.
6 May 2024
- Dozens of families are still marooned in their homes within Nyando sub-county as rescue efforts continue to have them moved to higher grounds after River Nyando broke its banks.
6 May 2024
- Chadians go to the polls on Monday three years after their military leader seized power, in the first presidential election in Africa's Sahel region since a wave of coups.
6 May 2024
- Israeli authorities raided a Jerusalem hotel room used by Al Jazeera as its office after the government decided to shut down the Qatari-owned TV station's local operations on Sunday
6 May 2024
- Former minister Njeru Githae launches 15 fiction books
6 May 2024
- My story: Why I chose permanent contraception
6 May 2024
- In all the protests called by the medics and nurses, the issues have remained the same.
6 May 2024
- Israel has closed the Kerem Shalom crossing into Gaza after Hamas fired rockets from within the strip. Israel said the attack killed three of its soldiers, injuring several others. The crossing is one of the few routes to get humanitarian aid, including…
6 May 2024
- Reading Time: 2 minutes An often cited reason for the underperformance of the agricultural sector is the collapse of the extension services. It wasn’t […]
6 May 2024
- Reading Time: 2 minutes The rains have been pounding hard. Nearly every part of Nairobi has at one point in the past one month […]
6 May 2024
- A university don has urged the government to invest heavily in traditional medicine as a substitute to conventional forms of treatment. Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology lecturer Dr Sylvester Anami said streamlining of the…