- 1,517 viewsWafuasi wa kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga walijitokeza kupinga hali ngumu ya maisha katika jiji la Nairobi. Ungana na mwandishi wetu akieleza hali ilivyokuwa katika mkusanyiko huo wakieleza mfumuko wa bei za bidhaa muhimu ulivyoathiri maisha yao. #maandamano #kiongoziwaupinzani #railaodinga #kenya #maisha #nairobi #voa #voaswahili - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Maandamano yafanyika Kenya kupinga hali ngumu ya maisha
- - LIVE|| NEWS NOW ››
- 25 Apr 2024 - The government is in the process of acquiring 11,000 acres of land in Naivasha to settle squatters from around the Rift Valley region.
- 25 Apr 2024 - President William Ruto has stated that people living in areas susceptible to floods will be moved, whether they like it or not, to ensure they do not endanger their lives.
- » 'I expect world-class legislation': Ruto sets high expectations for MPs as he officially opens Bunge Towers25 Apr 2024 - President William Ruto has declared that he expects a "world-class" performance from Kenyan Members of Parliament (MPs) after opening the Ksh.9.8 billion Bunge Tower.
- » 'I expect world-class legislation': Ruto sets high expectations for MPs as he officially opens Bunge Tower25 Apr 2024 - President William Ruto has declared that he expects a "world-class" performance from Kenyan Members of Parliament (MPs) after opening the Ksh.9.8 billion Bunge Tower.
- 25 Apr 2024 - A total of 10 counties will benefit from the funding
- 25 Apr 2024 - National Election Board chairman Mwaura said they're set for the election that will be conducted electronically.
- 25 Apr 2024 - Shikanda chided fans for turning a blind eye to Opiyo's past masterclass acts
- 25 Apr 2024 - Mackenzie is seeking to be transferred from his current cell to another due to mental distress.
- 25 Apr 2024 - The strategies also seek to protect rights and the welfare of Kenyan workers
- 25 Apr 2024 - The basement parking is a serious concern to members for safety and security.