Skip to main content
Skip to main content

Machifu wa eneo la Elwak Mandera waunga kupewa silaha

  • | Citizen TV
    296 views
    Duration: 1:06
    Machifu kutoka eneo la Elwak, kwenye mpaka wa Kenya na Somalia eneo la Mandera Kusini, wameunga mkono hatua ya serikali kuwahami kwa bunduki ili kukabiliana na tishio la wanamgambo wa Al Shabaab.