Skip to main content
Skip to main content

Machifu waliozuiliwa na magaidi wavunja kimya chao

  • | Citizen TV
    5,828 views
    Duration: 3:45
    Machifu Watano waliotekwa nyara na kundi la kigaidi Al Shabaab na kusafirishwa nchi jirani Somalia kwa jumla ya miezi miwili wamesimulia masaibu yao mikononi mwa magaidi hao. Machifu hao waliokuwa mateka kwa zaidi ya miezi miwili wanaitaka serikali kuwasadia kwani familia zao zinateseka. Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen amehakikishia Machifu hao na wengine walioko kwenye mpaka wa Kenya na Somalia kwamba mahitaji yao yatashughulikiwa.