6 Mar 2026 10:31 am | Citizen TV 193 views Duration: 2:11 Muungano wa Madaktari KMPDU pamoja na Serikali ya Kaunti ya Laikipia wamefikia makubaliano kadhaa yanayolenga kuboresha maslahi ya wahudumu wa afya na kuimarisha utoaji wa huduma za afya katika kaunti hiyo.