- 1,165 views
Tume ya ugavi wa mapato (CRA) imesema kuwa mapato ya kaunti yamepungua kwa shilingi bilioni 157. CRA inasema kuwa kaunti zimeandikisha mapato ya shilingi bilioni 59 badala ya shilingi bilioni 216. mwenyekiti wa tume hiyo Mary Wanyonyi Chebukati kaunti hazijakusanya mapato kama inavyotarajiwa na hivyo sababu ya kutegemea pakubwa mgao wa pesa kutoka kwa serikali kuu. kaunti za Mombasa na Machakos zimetajwa kama bora zaidi kwa ukusanyaji wa mapato kutokana na mikakati iliyowekwa ya kuziba mianya ya ubadhirifu na ukusanyaji wa ushuru. aidha amesema pesa zinazotolewa za kusafirisha bidhaa kutoka kaunti moja hadi nyingine - CESS - zinahujumu ugatuzi.
Madereva walalamikia ujambazi Baringo
- - Tamati ››
- 1 May 2025 - President William Ruto has announced that pensions and gratuity payments for workers both in the private and public sectors will be tax-free beginning the next financial year.
- 1 May 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i is set to make his first public appearance this year in the Gusii region on Friday, May 2, 2025.
- 1 May 2025 - A Grade 2 pupil was on Wednesday evening swept away by floods in Milimani area, Nakuru County, after a heavy downpour led to severe flooding in several parts of the town.
- 1 May 2025 - The family of slain Kasipul Member of Parliament Charles On'gondo Were has shifted blame to the government following his assassination on Wednesday night in Nairobi.
- 1 May 2025 - Their labour struggles shaped May Day as they demanded dignity and justice.
- 1 May 2025 - This tragic incident adds to a grim list of Kenyan Members of Parliament who have been murdered while serving in office.
- 1 May 2025 - The MP abandoned his usual car after developing an instinct that his life was in danger.
- 1 May 2025 - The tour will begin in Nyasiong'o, to Keroka, Kiumbu, Kisii roundabout and Ikonge Market.
- 1 May 2025 - Kasipul MP was shot dead in Nairobi, an act that has been described as shocking and barbaric.
- 1 May 2025 - Global health funding faces historic challenges as donor countries reduce their contributions, the director of the World Health Organisation said on Thursday. U.S. President Donald Trump’s administration withdrew from the WHO upon taking office in…