- 46 viewskituo kikubwa cha matibabu huko Ukanda wa Gaza ambacho hivi karibuni kilikumbwa na amri ya Israel kutaka watu waondoke. Lakini raia, wakiwa kwenye mahema katika eneo la hospitali, wanasema hawana pa kwenda, na hawapangi kuondoka. Vibanda vya vyakula na nguo vimewekwa kuzunguka hospitali. Mwanamke mmoja asiyekuwa na makazo, Om Haitham Hejela, anasema hali ni mbaya sana hapo hospitali lakini anasisitiza kwamba hataondoka hospitali ya Al-Shifa kwa vile hana kwingine kwa kwenda. Jeshi la Israel limelishutumu kundi la harakati za Kiislamu Hamas siku ya Ijumaa (Oktoba 27) kwa kuitumia hospitali kuu huko Gaza kama ngao kwa ajili ya mahandaki na vituo vyao vya operesheni. Afisa wa Hamas Ezzat El-Reshiq, mwanachama wa kitengo cha harakati za kisiasa, alisema kwenye Telegram: “Hakuna ukweli kwa kile ambacho kimeripotiwa na msemaji wa jeshi la adui,” akiishutumu Israel kwa kusambaza uongo kama “utangulizi wa kutenda maafa makubwa mapya dhidi ya watu wetu.” Hospitali hivi sasa ni makazi ya wapalestina takriban 50,000 wasiokuwa na makazi, maafisa wa afya wanasema. Maafsia wa afya katika hospitali za Al-Shifa na Al-Quds wamesema mashambulizi ya anga yamepiga karibu na majengo yao. Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya kibinadamu OCHR imesema raia 117,000 wanahifadhiwa pamoja na maelfu ya wagonjwa na madaktari katika hospitali za kaskazini. #Alshifa #israel #voa #reels #igreels #videography #hezbollah #hamas #gaza #shambulizi #hamas #benjaminnetanyahu #wazirimkuu
Maelfu ya wapalestina wamejihifadhi katika hospitali ya Al-Shifa
- 17 Aug 2025 - ODM leader Raila Odinga has sharply criticised individuals who spread malicious rumours and wished death upon Siaya Governor James Orengo when he was out of the country for more than one month.
- 17 Aug 2025 - European leaders will join Ukrainian President Volodymyr Zelensky during his visit to Washington on Monday seeking an end to Moscow's invasion, after President Donald Trump dropped his push for a ceasefire following an Alaska summit with Russian leader…
- 17 Aug 2025 - Uganda has inaugurated its first large-scale gold mine, a $250 million Chinese-owned project in the country's east that will also refine the bullion to 99.9% purity, according to a statement from the president's office.
- 17 Aug 2025 - Whether in a sports jersey or a suit, Kenyan President William Ruto is casting himself as a model supporter of the national football team as an international tournament provides respite from recent bloody protests against his regime.
- 17 Aug 2025 - Security has been heightened along the Thika Superhighway near the Moi International Sports Centre, Kasarani, ahead of Kenya’s Harambee Stars match against Zambia’s Chipolopolo.
- 17 Aug 2025 - The second half is expected to bring more intensity as both teams chase a crucial win.
- 17 Aug 2025 - Many in Lesotho have been laid off and are now struggling
- 17 Aug 2025 - The Hollywood stuntman and actor died on 12 August at a care home in the US state of Missouri
- 17 Aug 2025 - LPG-powered cars are gaining popularity in the country.
- 17 Aug 2025 - Schools are set to reopen for the third term from next week.