20 Jul 2026 10:26 am | Citizen TV 244 views Duration: 1:13 Chama cha maendeleo ya wanawake nchini kimeanzisha harakati za kuhakikisha akina mama mashinani wanapata na kutumia maji safi na salama ili kujikinga dhidi ya maradhi yanayosababishwa na matumizi ya maji machafu.