- 9 views
Zaidi ya wafugaji elfu-moja kutoka maeneo kame humu nchini wanatarajiwa kunufaika na mradi utakaoshughulikia athari za ukame katika maeneo hayo. Mradi huo utashirikisha ufugaji na kilimo kwa lengo la kufanikisha kutengwa kwa maeneo ya malisho katika wadi 490 katika maeneo kame ambapo ukame umesababisha maafa makubwa kwa watu na mifugo.Akiongea katika kaunti ya Marsabit wakati wa kikao cha kukusanya maoni ya umma kuhusu mradi huo ,katibu katika wizara ya ustawi wa maeneo kame Harsama Kello alisema kuwa mradi huo utagharimu shilingi milioni 13 ambazo zitagharamia juhudi za kuimarisha mifugo na kujenga vyanzo vya maji miongoni mwa miradi mingine ya manufaa kwa jamii. Katika kaunti ya Marsabit mradi huo uliogharimu shilingi bilioni 2.7 uko katika ardhi ya ekari elfu-12 na unatarajiwa kushughulikia mifugo elfu-2 . Kaunti nyingine zitakazopewa kipaumbele ni Garissa, Mandera, Tana River, Isiolo, Samburu, Turkana, Baringo, West Pokot na Wajir.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Maeneo maalum kufunguliwa katika maeneo kame kushughlikia lishe ya mifugo
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - More than 14 million of the world's most vulnerable people, a third of them small children, could die because of the Trump administration's dismantling of US foreign aid, research projected on Tuesday.
- 1 Jul 2025 - Bangladesh on July 1 marks one year since students launched protests that culminated weeks later in the overthrow of the government.
- 1 Jul 2025 - A middle-aged man shocked an Eldoret court after confessing that he deals in bhang business as his only source of income.
- 1 Jul 2025 - Cameroon's Tourism Minister Bello Bouba Maigari has accepted his party's nomination to seek the presidency in an expected October election, with long-serving President Paul Biya yet to announce whether he plans to run for reelection.
- 1 Jul 2025 - KEBS has received several complaints.
- 1 Jul 2025 - The bill is "utterly insane and destructive". — Elon Musk
- 1 Jul 2025 - His quest for freedom has been denied at the High Court and Court of Appeal.
- 1 Jul 2025 - Police said they are investigating to establish whether the man drowned or was killed and dumped there.
- 1 Jul 2025 - The woman had a stab wound in the head.
- 1 Jul 2025 - Usaid-funded programs have prevented more than 91 million deaths globally, including 30 million deaths among children.