Skip to main content
Skip to main content

Mafuriko Mto Tana yawalazimu wakazi Garissa kuhama makazi

  • | Citizen TV
    828 views
    Duration: 2:23
    Familia zinazoishi karibu na Mto Tana, Kaunti ya Garissa, zimeanza kuhama baada ya Mto Tana kuvunja kingo zake kutokana na kuongezeka kwa viwango vya maji. Familia hizo zinahangaika kwa kukosa mahala pa kwenda. Aidha, wanahofia kukosa chakula kwani sasa wamejihifadhi kwenye kambi za muda.