Skip to main content
Skip to main content

Mafuriko Nyamasaria yawaacha mamia bila makazi

  • | Citizen TV
    5,594 views
    Duration: 3:54
    Mamia ya watu watalazimika kulala nje katika eneo la Nyamasaria huko Kisumu Mashariki baada ya nyumba zao kusombwa na mafuriko kufuatia mvua kubw ainayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. Nyumba kadhaa zimezama katika eneo hilo huku wakazi wakipoteza mali yao. Mafuriko pia yameathiri shule kadhaa