Skip to main content
Skip to main content

Mafuriko yaathiri shule Nairobi na Makueni, vifo vimefikia 44

  • | Citizen TV
    1,169 views
    Duration: 3:31
    Athari ya mafuriko yaliyoshuhudiwa ijumaa yamedhihirika katika shule kadhaa jijini huku shughuli za masomo zikitatizika kufuatia uharibifu maeneo mengi. Katika shule ya msingi ya kware , wanafunzi na walimu walilazimika kusafisha tope na uchafu baada ya madarasa kufurika na kusababisha maji taka kuingia ndani ya shule hiyo. Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko hayo sasa imeongezeka na kufikia watu 44.